taaluma ya uandishi, imejitokeza
ni kazi ya aushi, yapendeza
wachukiao ni wabishi, tutawabeza
karibuni tanzania, uandishi unangaa
Sunday 20 January 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
kazi ya hiari hushinda utumwa. uandishi ulikuwa ni kazi ya hiari kwangu, haikunichosha wala sikuisinzilia. nilijiona ilinipasa kuandika tu! ilinilazimu kuandika wakati wote. niliandika mchana na usiku na kati ya kulala na kuamka siku zote.... kama kirama-muandishi wa dhambi na thawabu. uk.76 Shaaban Robert-Maisha yangu na baada ya miaka hamsini. karibuni mahashash wa mashairi na wale ashk-madhlum mpate ponyo. wasiliana nami. +225713593894.
No comments:
Post a Comment