kuanzia sasa jiandae kupata mashairi mapya, kila mungu ataponijaalia kuklaa katika ngamiza na kuandika nilichojaaliwa kwa siku hiyo. kwa leo anza na hili shairi dogo...
GOD OF MANY COLOUR
my father use to tll me
God is one
Wasn't born
and all alone
But now aday's
People lost
They almost
like ghost
Every group have God
who named
Always instead
By race and colour
Who is the real one
I want to follow
Before him to bow
ooh!!.. my mind allow
The God of many colour
I'm with you
White, Black or Blue
They praise your name
LOVE IS.....
Love is every where
it exist
For one who care
can't resist
And those who aware
fail at last
I always pray to God
to get one
Who will raise my mood
being fine
ooh!! yes i understand
love is line
Many people tend to cry
for love
make their soul fly
to deserve
but most of them lay
to achieve
I lost my cute GRACE
for jelous
I have no one to replace
it's dangerous
Her eyes was like spice
ooh!! hopelesness
Now im all alone
I cry!
Everything i concern
now it fly
The tears it drown
cant dry!
PESA SUMU
pesa sumu ya furaha, ila huleta mapenzi
waliokosa shabaha, huniona mpuuzi
ajabu nao huhaha, kuwaridhisha vipenzi
dunia yetu ya sasa, bila pesa hupendeki
ajabu ya jambo hili, halipati magunduzi
wengi tunastahamili, na nyoyo kupata ganzi
hudhani tunastahili, kwa udhati wa mapenzi
kupenda hakutoshi kitu, watu wanataka pesa!
pendo hapewi baghili, nimefanya uchunguzi
wake wana maufili, na waume ni washenzi
mapenzi yenye adili, kuyapata hatuwezi
mmoja akiwa mwema, wa pili huharibika
mapenzi janga la kiu, na hilo ni toka enzi
mtoa ana dharau, hafikirii ijazi
mpokea ni bahau, mchafu mwenye kutuzi
al-khitaju hanitha, lau kanna rijaalu..
wakatabahu bakungwi, ni mwisho wa maongezi
ajifaae hanangwi, hupata mambo azizi
mapendo ni kama mwangwi, kuuzuia huwezi
na kazi ipo kwa yule, mpenda asiependwa
PUMZI
pumzi zina hadaa, na kutupa kiburi
tena bila ridhaa, ya mola maamuri
nyoyo zimetufubaa, hatuogopi kaburi
maudhi na shufaa, hupeleka umuri
mengi yasiyofaa, hupulizwa uturi
unyonge na zanaa, waja hayawaghuri
dunia kama jaa, kawaida si zuri
taka zisizofaa, ndiwo huu umuri
maisha ni kichaa, waja hatufikiri
wevi wa makataa, husubiri kujiri
hawangoji ridhaa, kukutia kabari
wangeiba asaa, hutukata umuri!!!..
Saturday 19 January 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment